Karibu Mara! Mbali na fursa za kijiografia, historia, hazina ya utamaduni na usalama; Mkoa wa Mara tunao utajiri wa rasilimali ardhi, maji, madini, samaki mifugo na utalii.
Mara Mpya ni Mradi wa kukuza uchumi wa Mkoa wa Mara unaosimamiwa na Chemba ya Wafanyabiashara, Wakulima na Wenye viwanda wakishirikiana na Serikali ya Mkoa wa Mara. Mradi ulianzishwa mwezi Septemba 2019 ili kusaidia kuchochea uchumi na shughuli za kimaendeleo Mkoani Mara ikiwa ni hatua ya utekelezaji wa maono ya MHE: SAMIA SULUHU HASSAN Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutaka sekta binafsi imsaidie namna ya kuwezesha taarifa na fursa muhimu za Serikali kuwafikia Wajasiriamali wadogo hasa vijijini na kuwasaidia kukuza uchumi wao.
Mkoa wa Mara ni chimbuko la viongozi mashuhuri nchini akiwemo Rais wa kwanza na Mhasisi wa Taifa hili Hayati Mwl.Julius K. Nyerere. Mkoa una fursa nyingi za kijiografia ukiwa unapakana na Nchi za Kenya na Uganda na kuufanya kuwa Lango muhimu la Biashara katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Huwezi kuongelea Utalii Barani Afrika bila kuitaja Hifadhi ya Serengeti, Hifadhi maarufu Sana duniani iliyo makazi ya the Big Five Twiga, Tembo, Simba, Chui na Nyati. Kwa sasa Mkoa wa Mara (Wilaya ya Bunda) ni Makao Makuu ya TANAPA(Tanzania National Parks) Kanda ya Magharibi inayohudumia Mikoa ya Mara, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Geita, Kigoma na Kagera. Aidha Mkoa unazo fursa katika sekta za Kilimo, Uvuvi, Ufugaji, Madini n.k
fahamu zaidi kuhusu Mkoa wa Mara
Fahamu zaidi kuhusu Biashara zetu na uweze kuwekeza nasi ndani ya mkoa wetu
Mara ni wazalishaji wa mazao ya pamba, kahawa, mhogo, mtama, karanga, maharage. Tafadhali tufahamishe ungependa kuzalisha gani au kununu zao gani kutoka Mara
Mara ni wazalishaji wa mazao ya pamba, kahawa, mhogo, mtama, karanga, maharage. Tafadhali tufahamishe ungependa kuzalisha gani au kununu zao gani kutoka Mara
Mara ndio Mkoa unaomiliki karibu asilimia 60 ya ziwa Victoria kati ya mikoa ya Tanzania.
Lorem ipsum dolor sit amet consectetur, adipisicing elit. Corrupti autem beatae eos unde sint provident minima.
Lorem ipsum dolor sit amet consectetur, adipisicing elit. Corrupti autem beatae eos unde sint provident minima.
Mkoa wa Mara bado shughuli za Viwanda vipo chini sana, tunahitaji Viwanda kuchakata mazao ya wanyama kama maziwa, nyama na ngozi.
Tangaza Nasi fahamu zaidi kuhusu Masoko
Elimu Bora na Inayokupa uhuru wa kuishi kisasa inapatikana Mara
Kama tunavyoamini kuwa Teknolojia ni nyenzo muhimu sana Soma Zaidi hapa
Sasa Kuna vilabu mbalimbali ambavyo vinakuwa na hata hivyo michezo imekuwa sehemu muhimu sana Fahamu zaidi
Miundombini ni moja ya maendeleo muhimu Kutana Na Wataalamu wengi Kutoka Mara
KUTOKA TCCIA MARATHE NEXT BIG NEWS THIS JUNE 2020HABARI NYINGINE KUBWA MWEZI HUU!Ndugu zangu wana Ma...
Read MoreMKUTANO WA WABUNIFU!Leo Marekani ni Taifa kubwa ktk nyanja kadhaa kwasababu ya nguvu ya Ubunifu, Ch...
Read More